Mfano wa Shughuli jumlishi: Migogoro na Maridhiano

Kuna tetesi kwamba kuna jamii mbili ambazo zinapanga kuvamiana kwa ajili ya mashambulizi. Taarifa zaidi zinasema kwamba siku hizi vijana wa jamii hizo mbili, wanajiandaa kwa mashambulizi hayo kwa kunoa mikuki, mapanga na kutengeneza marungu. Tena ni bayana kwamba watu wa jamii hizi mbili wamezozana kwa muda mrefu. Wanaibiana ng’ombe na mavuno mashambani. Kwa hivyo, inasemekana kwamba wamefikia wakati na hawawezi kuvumiliana tena.

Mfano wa Shughuli jumlishi: Migogoro na Maridhiano 1Mfano wa Shughuli jumlishi: Migogoro na Maridhiano 1

Mwandikie barua mkuu wa polisi wa mkoa wako ukimjulisha juu ya tetesi hizo pamoja na athari zinazoweza kutokea na kisha umshauri juu ya mwelekeo.

AddThis Website Tools
Magembe Solomon

Leave a Comment
Share
Published by
Magembe Solomon

Recent Posts

NLSC. Chemistry-Engaging Assignments for the New Lower Secondary Curriculum

NLSC. Chemistry-Engaging Assignments for the New Lower Secondary Curriculum Assignment 1: Chemical Bonding Scenario: You…

2 months ago

QUESTION 4

4(a) what are your roles as citizen of Uganda?   (b) Each and every  individual in…

1 year ago

QUESTION 3

3(a) why do we political Eduction in the New Uganda curriculum?    (b) Explain the roles…

1 year ago